Friday, July 15, 2011

24 Bars za Mexican ni zaidi ya pigo kwa Bagdadi - X.Dizzo




X-Dizzo on the pose

X-Dizzo with Brother Tattoo

X on tha P

X ma nicca riddin it

X with Wakweli and Mwajo
Jamaa anaitwa X-dizzo na Temeke ndio wilaya anayotokea, mchizi akiwa na hasira za kutosha anazungumzia swala juu ya kipande cha mistari kinachoitwa 24 bars za mexicana, X anashuka "unajua Bagdadi alikuwa mwanangu kichizi lakini mchizi bonge la snitch, tunafanya harakati wote tukijua mwana wa ukweli kumbe nyoka na mwisho wa siku anafanya ngoma anatuponda machizi wake wa harakati, amesahau kuwa na yeye alikuwa huko huko", so X ndo anashuka kimtindo huo kimaneno na kwenye ngoma mchizi anaanza na ryrics zinazosema "Hakuna Mexi bila cana wasichana lacavela bila puti nawafunga nawafanya mpaka jela", mchizi anazidi kushuka "nawajua mnanijua siogopi kufanya, mkizingua nazingua siogopi kuhanya", mchizi anazidi "Bagdadi umekutana na mmarekani, kwenye stanza nakutupa nakuficha kwapani", hayo si maneno yangu ni maneno ya mtu mzima X-Dizzo katika kipande cha 24bars za mexicana, na kipande hicho kinapatikana katika playlist ya Tattoo Recordz kwa download na kusikiliza.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...